AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
CEO wa lebo ya Next Level Music Rayvanny amekubali kufanya kazi na PNC Shino baada ya PNC kuweka wazi kutamani kufanya naye kazi kupitia show ya Planet Bongo ya East Africa TV.
Rayvanny alijibu hilo kwenye comment kwa kuandika "Shino style let's do it my brother".
Kuanzia sasa tegemea kuona kazi mpya ya PNC Shino akiwa na Rayvanny.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK