Raphael Tuju Aripotiwa Kuahidi IEBC Vinono Wakimtangaza Raila Mshindi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mengi yanazidi kuibuka kuhusu yaliyokuwa yakiendelea katika ukumbi wa Bomas kati ya Agosti 9 na Agosti 15.


Raphael Tuju anaripotiwa kuahidi IEBC zawadi wakikarabati matokeo ya urais.
Bomas ndipo tue huru yta uchaguzi na mipaka nchini IEBC ilikuwa na kitu cha kitaifa kujumuisha kura za urais.

Sasa kamishna Abdi Guliye anasema aliyekuwa katibu wa Jubilee Raphael Tuju pamoja na Seneta Amos Wako walifika Bomas Agosti 15.

Alisema wawili hao walitaka makamishna kukoroga hesabu ili kumfaidi kiongozi wa Azimio Raila Odinga.

Tuju alidaiwa kutaka hesabu imtangaze Raila mshindi na iwapo hilo litakuwa ngumu, basi wahakikishe kuwa kuna duru ya pili.

"Alisema tukifanya hivyo kutakuwa na zawadi kubwa kwetu," hayo yanafichuka katika kiapo alichowasilisha mahakamani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad