Nape Nnauye: Leo Juu ya Mlima Kilimanjaro Napandisha Mawasiliano ya Internet yenye Kasi (Broadband) kwenye Paa la Afrika

 



Kupitia ukurasa wa Twitter wa Waziri Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye ameandika kuwa:


“Leo juu ya Mlima KILIMANJARO.Napandisha MAWASILIANO ya INTERNET yenye kasi (Broadband) kwenye PAA la AFRIKA. Watalii sasa wanaweza kuwasiliana duniani kote toka kwenye Kilele cha Mlima Kilimanjaro, TUNAKWENDA UHURU PEAK #royaltourcompliment #royaltour ⁦ @SuluhuSamia

______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad