Amuua Baba Yake Mzazi Kwa Madai ya Kushindwa Kumtafutia Mchumba wa Kuoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jeshi la Polisi mkoani Mtwara linamshikilia Kristatus Victory (23) mkazi wa Lukuledi wilayani Masasi kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Victory Milanzi (74) kwa madai ya kushindwa kumtafutia mchumba wa kuoa.

Akizungumza Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani humo, ACP Issack Mushi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema mtuhumiwa anadaiwa kumchoma kisu mdomoni na tumboni baba yake, kisha kumjeruhi mama yake mzazi, Carolina Ludugeli (68).
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad