Afanyiwa Operation Baada ya Vibrator Kukwama Ukeni Akijipa Raha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mapya yaibuka! Mrembo kwa jina la  Caitlin ameibuka kueleza kufanyiwa sajari baada ya vibrator aliyokuwa akiitumia kujiridhisha kukwama mwilini na kupatwa na muhaho wa aina yake

Mrembo huyo amesema alikuwa faragha na boyfriend wake wanaendelea na mambo yao hivyo wakashauriana ndivyo sivyo kwamba mdada aingize  kitu na katika "mlango wake wa uwani" ambapo waliingiza hiyo vibrator kuja kushtukia imeenda mbali na kukwama haitaki kutoka

Mdada amesema alijaribu kila mbinu ikiwemo kwenda kukaa chooni ili kuitoa vibrator lakini ilishindikana akazidi kuhaha mwishowe wakaamua aende hospitali ila kufika huko akawa anaona aibu kuwaeleza madaktari maana yeye mwenyewe ni mwanafunzi anasomea unesi

Madaktari walimpiga x-ray na wakajionea wenyewe vibrator iliingizwa katika "mlango wa uwani" badala ya wa kawaida

Sajari ilifanyika ikatolewa, baada ya kutolewa madaktari waliiweka katika kifuko cheusi wakaamuuliza mdada huyo Kama bado analitaka vibrator lake? mdada alishtuka na kujibu "HAPANA, AHSANTE" haitaki tena amekoma 

Amesema hiyo ni siku ambayo hatokuja kuisahau huku akipost picha alipokuwa hospitalini  
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad