AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki Chege Chigunda akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es salaam amefunguka kutokulipwa kiasi cha Sh Milioni 25 na msanii Rayvanny kama ambavyo Mwijaku alieleza.
Mwijaku kwenye moja ya mahojiano yake alisema Chege kashalipwa na Rayvanny kiasi cha Milioni 25 kwa ajili ya kumalizana na sakata la msanii Mac Voice ambaye awali alikuwa msanii wake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK