Haji Manara aibukia bungeni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Haji Manara aibukia bungeni
ALIYEKUWA msemaji wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Haji Manara, ni miongoni mwa wageni waliofika leo Septemba 19, 2022 kwa ajili ya kuona shughuli za Bunge, wakati wa kikao cha Tano, Mkutano wa Nane unaoendelea bungeni jijini Dodoma.

Mwezi uliopita, Manara alifungiwa na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF),kujihusisha na mpira wa miguu kwa muda wa miaka miwili.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad