google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Huyu Kijana Erling Haaland ni Kama Mayele wa Yanga...Aendelea Kutupia Ligi Kuu ya Uingereza.... | UDAKU SPECIAL

Huyu Kijana Erling Haaland ni Kama Mayele wa Yanga...Aendelea Kutupia Ligi Kuu ya Uingereza....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Klabu ya Manchester City imeibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Borussia Dortmund katika mchezo wa Kundi G wa Ligi ya Mabingwa Ulaya uliochezwa usiku wa Jumatano Uwanja wa Etihad, Uingereza.

Mabao ya Man City yamefungwa na John Stones dakika ya 80 na Erling Haaland dakika ya 84, wakati bao la Borussia Dortmund limefungwa na Jude Bellingham dakika ya 56.


Ushindi huo wa pili unaifanya Man City ifikishe pointi sita na kuendelea kuongoza kundi kwa pointi tatu zaidi ya Dortmund baada ya wote kucheza mechi mbili.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad