AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Manchester United imepata ushindi wa nne mfululizo kwenye Ligi Kuu ya England baada ya kuichapa Arsenal goli 3-1 kwenye Uwanja wa Old Trafford
United imepata magoli yake kupitia Antony na Marcus Rashford aliyefunga mawili wakati Bukayo Saka akiifungia Arsenal goli la kufuta machozi
Matokeo hayo yanaifanya Arsenal kupoteza alama kwa mara ya kwanza msimu huu baada ya awali kushinda mechi tano mfululizo kwenye Ligi hiyo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK