AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waandaji wa Tuzo za All Africa Music Award (AFRIMA) wametoa orodha ya nyota wa muziki wa kiafrika watakaowania tuzo hizo mwaka huu.
Kwa Tanzania mwaka huu tumetisha kwa kuingiza wanamuziki wengi kwenye vipengele tofauti tofauti. Wanaotuwakilisha kwenye tuzo hizo ni pamoja na @diamondplatnumz @officialalikiba @officialnandy @naytrueboytz @marioo_tz @officialzuchu @rosa_ree @rayvanny @mbosso_ @navykenzoofficial na @fridaamaniofficial
Zoezi la upigaji kura linatarajiwa kuanza Septemba 25, 2022 na hafla ya ugawaji wa Tuzo itafanyika Desemba 8 - 11.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK