Maswali Ambayo Majaji wa Mahakama ya Upeo Wanamtaka Raila Odinga Kujibu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Majaji wa Mahakama ya Upeo wanaosikiliza kesi ya kupinga matokeo ya urais. Picha: JSC.
Wakati wa kusikilizwa kwa kesi hiyo Jumatano, Agosti 31, Jaji Mkuu Martha Koome aliwaruhusu majaji hao sita kuwauliza maswali mawakili wa Raila wanaoongozwa na wakili James Orengo.

Majaji hao walitaka ufafanuzi wa kina na wazi kuhusu baadhi ya masuala yaliyoibuliwa katika malalamishi ya Azimio.


Maswali Mazito Ambayo Majaji wa Mahakama ya Upeo Wameuliza Walalamikaji
Jaji William Ouko: "Je, kuna umuhimu gani wa kura zilizokataliwa wakati wa kujumlisha matokeo ya kura?"


"Kuahirishwa kwa uchaguzi katika maeneo fulani na unasema hii ilisababisha ukandamizaji wa wapiga kura kwamba watu huamka asubuhi na mapema kwenda kumpigia kura mgombea fulani sema MCA au seneta. Je, tuna uhusiano wowote na hili au ni dhana tu kwamba haya yanatokea?"

"Je, ni baadhi ya vipengele gani vinavyopaswa kutimizwa kabla ya mahakama kuchukua hatua au kutoa uamuizi chini ya Kifungu cha 80 (4)?



"Ulituambia kuhusu fomu 34 kuwasilishwa kwa hati ya PDF lakini katika maombi, kuna swali la JPEG. Je, ungependa kufafanua kuhusu hilo? Katika muktadha wa kuvurugwa na na kadhalika, tufafanulie jinsi hiyo inavyotokea kwa wakati halisi?"


"Unachotuambia ni kwamba Fomu 34 zilienda kwa vifaa vya KIEMS kwenye kituo cha kupigia kura hadi eneo bunge, kisha kutoka eneo bunge na tovuti, nambari zilibadilishwa. Nadhani wakati vifaa vya KIEMS vinapochukua picha, na fomu zilijazwa kwa maandishi ya mkono, unawezaje kueleza jinsi fomu inaweza kubadilishwa kwa mwandiko kwa sababu hii haijachapwa?"

Raila Odinga kwa Utulivu Afuatilia Matukio ya Mahakama ya Juu Kuhusu Kesi ya Urais
"Kuhusu suala la ukandamizaji wa wapigakura, kila moja ya chaguzi hizi zimeandaliwa kivyake kwa maana ni chaguzi sita tofauti wakati mmoja."

"Je, ukandamizaji wa wapiga kura ni uchaguzi wa urais pekee au ni hoja inayoweza kutumiwa na MCA katika Kaunti ya Kakamega kusema kwa sababu kura ya ugavana imefutwa, kura yangu iliathirika kwa sababu wa uchaguzi tofauti?


"Suala kuu katika chumba hicho ni asilimia 50 pamoja na moja. Je, kuna umuhimu gani wa asilimia ya wapiga kura kujitokeza ili kubaini kama mgombeaji alipanga nambari yake kimiujiza?"


"Fomu rasmi ya 34A inaondoka kituo cha kupigia kura hadi kituo cha kujumlisha kura kwa njia ya barabara, picha yake inapitia barabara hiyo kidijitali. Mahali fulani imekatabatiwa ambayo ina maana kwamba utapata matokeo tofauti. Ili kuamua hili, utahitaji fomu iliyowasilishwa moja kwa moja. Je kuna uwezekano kuwa utekaji nyara ambao ulifanyika hewani pia kwa njia fulani ulibadilisha yaliyomo katika ile iliyosafiri kwa barabara?

Magazetini Agosti 30: Kesi Nane Zimewasilishwa Kupinga Ushindi wa Ruto
Jaji Smokin Wanjala
Jaji Smokin Wanjala.
Jaji Mohamed Ibrahim:

"Nina wasiwasi na njia mbadala unaotafutwa. Mlalamishi aliomba kubatilisha kwa kura, kisha kuhesabiwa upya na mwenyekiti aamrishwe kumtangaza yeye na mlalamishi wa pili kuwa washindi. Tungependa uweke msingi wa kisheria na kikatiba wa hili katika maombi yako."

"Unataka uchaguzi mpya ufanyike. Moja ya uamuzi unayomba ni kwamba Mwenyekiti wa IEBC atangazwe kuwa hafai kushikilia wadhifa wa umma, hilo linawezekana vipi? Unataka tuendesheje hilo ndani ya sheria? Je, hali halisi ni ipi chini ya sheria?"

Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu:

"Tulichosikia kuhusu tume ni sawa na ajali iliyoshuhudiwa wakati mmoja ikielezewa kama video na drama. Je, ni lini tume hii ilishindwa kufanya kazi kabisa? Ni hatua gani za kurekebisha zilijaribiwa na matokeo yalikuwa nini?"


"Kuhusu suala la Fomu 34A, inakuwa katika muundo gani inapoondoka kwenye kituo cha kupigia kura kwani mambo yanayotokea kati kati lazima yaelezewe hivyo?"

"Je, nini kinatakiwa kufanyika kama hatua dhidi ya Mwenyekiti na vipi ni njia ya kupuuza taratibu na ulinzi wa kikatiba ambao tayari umewekwa?"

Majaji 7 wa Mahakama ya Upeo Kuanza Kusikiliza Kesi ya Kupinga Ushindi wa Ruto
{Ikiwa kila mchakato unaofanywa hadi sasa umepingwa, je, hata hivyo tutamtangaza mshindi? Je, tutatumia takwimu sawa (zinazotolewa na IEBC) kumtangaza mshindi?"

Philomena Mwilu
Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu.
Jaji Mkuu Martha Koome:

"Shida yangu ni kwamba huyu ni afisa anayelindwa kikatiba (Chebukati) na kuna utaratibu wa kumwondoa. Je, tufanyaje kuhusu hilo? Je, tutoe amri kinyume cha katiba ikizingatiwa kwamba pia yeye ana haki ya kujibu?"

"Tunayo kuhusu Sheria ya Makosa ya Uchaguzi na mtu yeyote anayetenda kosa lolote anapaswa kushtakiwa mbele ya mahakama yenye mamlaka na nikawatangazia mahakimu kushughulikia hilo. Hivi si tutakuwa tunawanyang'anya mahakimu madaraka iwapo tunapaswa kutoa amri yoyote kuhusu makosa ya uchaguzi?


Ma

Mtazamo wa msomaji



Maswali Ambayo Majaji wa Mahakama ya Upeo Wanamtaka Raila Odinga Kujibu
kiswahili.tuko.co.ke
6h


Jaji Mkuu Martha Koome aliwaruhusu majaji hao sita kuwauliza maswali mawakili wa Raila wanaoongozwa na wakili James Orengo
Majaji hao walitaka ufafanuzi wa kina na wazi kuhusu baadhi ya masuala yaliyoibuliwa katika malalamishi ya Azimio
Jaji William Ouko alitaka kujua umuhimu wa kura zilizokataliwa wakati wa kujumlisha matokeo ya kura
Majaji wa Mahakama ya Juu Zaidi waliibua maswali kwa mawakili wa kiongozi wa Azimio Raila Odinga, wakitaka maelezo ya kina kuhusu kesi ya kupinga matokeo ya urais.

Majaji wa Mahakama ya Upeo wanaosikiliza kesi ya kupinga matokeo ya urais.
Majaji wa Mahakama ya Upeo wanaosikiliza kesi ya kupinga matokeo ya urais. Picha: JSC.
Wakati wa kusikilizwa kwa kesi hiyo Jumatano, Agosti 31, Jaji Mkuu Martha Koome aliwaruhusu majaji hao sita kuwauliza maswali mawakili wa Raila wanaoongozwa na wakili James Orengo.

Majaji hao walitaka ufafanuzi wa kina na wazi kuhusu baadhi ya masuala yaliyoibuliwa katika malalamishi ya Azimio.

Tuko.co.ke inaangazia maswali hayo.

Maswali Mazito Ambayo Majaji wa Mahakama ya Upeo Wameuliza Walalamikaji
Jaji William Ouko: "Je, kuna umuhimu gani wa kura zilizokataliwa wakati wa kujumlisha matokeo ya kura?"


"Kuahirishwa kwa uchaguzi katika maeneo fulani na unasema hii ilisababisha ukandamizaji wa wapiga kura kwamba watu huamka asubuhi na mapema kwenda kumpigia kura mgombea fulani sema MCA au seneta. Je, tuna uhusiano wowote na hili au ni dhana tu kwamba haya yanatokea?"

"Je, ni baadhi ya vipengele gani vinavyopaswa kutimizwa kabla ya mahakama kuchukua hatua au kutoa uamuizi chini ya Kifungu cha 80 (4)?

Jaji William Ouko.
Jaji William Ouko. Picha: UGC.
Jaji Isaac Lenaola:

"Ulituambia kuhusu fomu 34 kuwasilishwa kwa hati ya PDF lakini katika maombi, kuna swali la JPEG. Je, ungependa kufafanua kuhusu hilo? Katika muktadha wa kuvurugwa na na kadhalika, tufafanulie jinsi hiyo inavyotokea kwa wakati halisi?"


Isaac Lenaola.
Jaji Isaac Lenaola.
Jaji Njoki Ndung'u:

"Unachotuambia ni kwamba Fomu 34 zilienda kwa vifaa vya KIEMS kwenye kituo cha kupigia kura hadi eneo bunge, kisha kutoka eneo bunge na tovuti, nambari zilibadilishwa. Nadhani wakati vifaa vya KIEMS vinapochukua picha, na fomu zilijazwa kwa maandishi ya mkono, unawezaje kueleza jinsi fomu inaweza kubadilishwa kwa mwandiko kwa sababu hii haijachapwa?"

Raila Odinga kwa Utulivu Afuatilia Matukio ya Mahakama ya Juu Kuhusu Kesi ya Urais
"Kuhusu suala la ukandamizaji wa wapigakura, kila moja ya chaguzi hizi zimeandaliwa kivyake kwa maana ni chaguzi sita tofauti wakati mmoja."

"Je, ukandamizaji wa wapiga kura ni uchaguzi wa urais pekee au ni hoja inayoweza kutumiwa na MCA katika Kaunti ya Kakamega kusema kwa sababu kura ya ugavana imefutwa, kura yangu iliathirika kwa sababu wa uchaguzi tofauti?

Njoki Ndung'u.
Jaji Njoki Ndung'u.
Jaji Smokin Wanjala:

"Suala kuu katika chumba hicho ni asilimia 50 pamoja na moja. Je, kuna umuhimu gani wa asilimia ya wapiga kura kujitokeza ili kubaini kama mgombeaji alipanga nambari yake kimiujiza?"


"Fomu rasmi ya 34A inaondoka kituo cha kupigia kura hadi kituo cha kujumlisha kura kwa njia ya barabara, picha yake inapitia barabara hiyo kidijitali. Mahali fulani imekatabatiwa ambayo ina maana kwamba utapata matokeo tofauti. Ili kuamua hili, utahitaji fomu iliyowasilishwa moja kwa moja. Je kuna uwezekano kuwa utekaji nyara ambao ulifanyika hewani pia kwa njia fulani ulibadilisha yaliyomo katika ile iliyosafiri kwa barabara?

Magazetini Agosti 30: Kesi Nane Zimewasilishwa Kupinga Ushindi wa Ruto
Jaji Smokin Wanjala
Jaji Smokin Wanjala.
Jaji Mohamed Ibrahim:

"Nina wasiwasi na njia mbadala unaotafutwa. Mlalamishi aliomba kubatilisha kwa kura, kisha kuhesabiwa upya na mwenyekiti aamrishwe kumtangaza yeye na mlalamishi wa pili kuwa washindi. Tungependa uweke msingi wa kisheria na kikatiba wa hili katika maombi yako."

"Unataka uchaguzi mpya ufanyike. Moja ya uamuzi unayomba ni kwamba Mwenyekiti wa IEBC atangazwe kuwa hafai kushikilia wadhifa wa umma, hilo linawezekana vipi? Unataka tuendesheje hilo ndani ya sheria? Je, hali halisi ni ipi chini ya sheria?"

Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu:

"Tulichosikia kuhusu tume ni sawa na ajali iliyoshuhudiwa wakati mmoja ikielezewa kama video na drama. Je, ni lini tume hii ilishindwa kufanya kazi kabisa? Ni hatua gani za kurekebisha zilijaribiwa na matokeo yalikuwa nini?"


"Kuhusu suala la Fomu 34A, inakuwa katika muundo gani inapoondoka kwenye kituo cha kupigia kura kwani mambo yanayotokea kati kati lazima yaelezewe hivyo?"

"Je, nini kinatakiwa kufanyika kama hatua dhidi ya Mwenyekiti na vipi ni njia ya kupuuza taratibu na ulinzi wa kikatiba ambao tayari umewekwa?"

Majaji 7 wa Mahakama ya Upeo Kuanza Kusikiliza Kesi ya Kupinga Ushindi wa Ruto
{Ikiwa kila mchakato unaofanywa hadi sasa umepingwa, je, hata hivyo tutamtangaza mshindi? Je, tutatumia takwimu sawa (zinazotolewa na IEBC) kumtangaza mshindi?"

Philomena Mwilu
Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu.
Jaji Mkuu Martha Koome:

"Shida yangu ni kwamba huyu ni afisa anayelindwa kikatiba (Chebukati) na kuna utaratibu wa kumwondoa. Je, tufanyaje kuhusu hilo? Je, tutoe amri kinyume cha katiba ikizingatiwa kwamba pia yeye ana haki ya kujibu?"

"Tunayo kuhusu Sheria ya Makosa ya Uchaguzi na mtu yeyote anayetenda kosa lolote anapaswa kushtakiwa mbele ya mahakama yenye mamlaka na nikawatangazia mahakimu kushughulikia hilo. Hivi si tutakuwa tunawanyang'anya mahakimu madaraka iwapo tunapaswa kutoa amri yoyote kuhusu makosa ya uchaguzi?

2022 Scholarships | Search Ads
by TaboolaSponsored Links

9

3

10


Tujadili swala hili


 Unmute
 Unmute
rtha Koome
Jaji Mkuu Martha Koome.
Chanzo: TUKO.co.ke



Benso Kistao Kazungu
1h
3

waaa mungu saidia hapa ngumu sana loooh
Jibu

Rose Nafuna
4h
3

sana
Jibu

Gilbert W Wafula
4h
3

We are following you. good job.
Jibu

GUEST_RxE6pJ46M
44min
2

woi nilifikiri ni rahisi kumbe kuna maneno hivyo
Jibu
Tazama maoni 9 ya kusisimua




Toa maoni yako

Work A Canada Job From Home in Tanzania, United Republic Of
Work From Home Jobs
|
Sponsored
by Taboola
Unaweza kuwapenda watu
Upasuaji wa Maiti Wafichua Chanzo cha Kifo cha Afisa wa IEBC, Daniel Musyoka


15
kiswahili.tuko.co.ke


Sintofahamu Kanisa Anglikana, Dk Mokiwa adai mafao


21
mwananchi.co.tz


Makamishna Wanne wa IEBC Waliokataa Matokeo Kenya Ngoma Ngumu Kwa Ruto Mahakani


53
udakuspecially.com


Jinsi Uhuru alivyosaidia Ruto kuchaguliwa rais wa 5


13
taifaleo.nation.co.ke


Habari mpya
Zoran Maki: Michezo ya Sudan imetuimarisha

6h
dar24.com


Okwa: Sasa nipo tayari

1h
mwanaspoti.co.tz


Akatwa panga akituhumiwa kumnywesha mwenzake mkojo

mwananchi.co.tz


Je Wajua Faida za Kunywa Chai ya Majani ya Mchaichai? Zisome Katika Makala Hii


1
2h
globalpublishers.co.tz


Want To Lose Weight? Here's The Way to Lose Belly Fat Effectively
Bodytree Studio
Dar Es Salaam: Unlock Your Dreams to Study Abroad
2022 Scholarships | Search Ads
by TaboolaSponsored Links

9

3

10


Tujadili swala hili


 Unmute
 Unmute

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad