AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dk Mwigulu Nchemba
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, amesema hamiliki mabasi ya abiria, wala hana biashara hata ya Bajaji.
Ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma, wakati akizungumza na wanahabari na kutoa ufafanuzi kuhusiana na masuala ya tozo mbalimbali nchini.
Amesema ameshangazwa na taarifa kuwa ameagiza mabasi ya abiria 60, akisisitiza kuwa hana kampuni ya biashara hata ya Bajaji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK