Mwigulu: Sina biashara hata ya Bajaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Dk Mwigulu Nchemba
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, amesema hamiliki mabasi ya abiria, wala hana biashara hata ya Bajaji.

Ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma, wakati akizungumza na wanahabari na kutoa ufafanuzi kuhusiana na masuala ya tozo mbalimbali nchini.

Amesema ameshangazwa na taarifa kuwa ameagiza mabasi ya abiria 60, akisisitiza kuwa hana kampuni ya biashara hata ya Bajaji.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad