Official Lyyn " Diamond Platnumz Alikuja Kwetu Kujitambulisha ili Anioa Mazima, Alinicheat "

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Bongofleva, Official Lyyn ameongea kuhusu mahusiano na Diamond Platnumz kwenye kipindi cha Lavi Davi cha Wasafi FM na Diva,

Official Lyyn Amesema, "Nimekaa na Diamond Platnumz kwenye mahusiano kwa mwaka mmoja na nusu, Tulipendana, wakati naanza kutoka nae sikuwa maarufu, watu wamekuja kujua baadae, alishakuja nyumbani kutaka kunioa, haikuwa Easy kama wengine, tuliishia njiani sababu alinicheat".


Official Lyyn aliongezea kuwa "Mimi namwambia mwanaume ukweli, ukinicheat ndio basi, mimi ni mtu mkweli sana"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad