Paula Masanja "Aliyepewa Kapewa tu, Wewe Huna Haja ya Kuwa na Makasiriko"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Paula Kajala au Pau; ni mrembo maarufu kwenye mitandao ya kijamii (sosholaiti), mwanamitindo na mjasiriamali wa kuuza nguo ambaye anasema kuwa, anamshukuru Mungu kwa kila jambo linalotokea kwenye maisha yake.

Akizungumza Paula ambaye hivi karibuni alikwenda kula maisha huko Dubai, anasema kuwa, hakuna haja ya mtu kuwa na makasiriko anapomuona mwenzake amefanikiwa kwani kila mtu anapata riziki yake kutoka kwa Mungu.

“Aliyepewa kapewa tu, wewe huna haja ya kuwa na makasiriko kwani anayetoa ni mmoja tu; ni Mungu hivyo inategemea namna ulivyomuomba.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad