AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shaffih Dauda Geita dhidi ya Singida Big Stars ilikuwa mechi nzuri sana kabla ya Waamuzi kuiharibu kabisa mechi hiyo.
Unatazama namna timu zetu zimewekeza kuipa thamani ligi lakini bado Waamuzi hawajavuka hatua moja kuelekea nyingine, bado kuna shida kubwa sana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK