Shaffih Dauda Awashukia Waamuzi wa Mpira Baada ya Mechi ya GEITA na Singida Big Stars

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Shaffih Dauda Geita dhidi ya Singida Big Stars ilikuwa mechi nzuri sana kabla ya Waamuzi kuiharibu kabisa mechi hiyo.

Unatazama namna timu zetu zimewekeza kuipa thamani ligi lakini bado Waamuzi hawajavuka hatua moja kuelekea nyingine, bado kuna shida kubwa sana.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad