Zari Hassan Adai Kiben Ten Wake Anataka Kumuoa Yupo Tayari Kuwaona Wazazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Zari ameamua kuwapa makavu baadhi ya Waganda ambao hawapendezwi na mahusiano yake ya Shakib,

Zari anasema (kwa kiganda)

"Shakib aliniambia jana kuwa anataka kukutana na baba yangu. Anataka kutoa posa kwaajili ya ndoa, yuko tayari kunioa. Waliosema itaishia kwa machozi rudini kwa waganga wenu mkaombe warudishe hela, uchawi haukufanya kazi"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad