Akatwa mapanga akimuogesha mjukuu wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Watu wawili wakazi wa Kata ya Didia, Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, wamefariki dunia akiwemo mama mmoja aitwaye Nshoma Moshi, aliyekatwa mapanga akiwa nyumbani kwake majira ya saa 2:00 usiku wakati akimuogesha mjukuu wake.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi, amesema kwamba tukio hilo limetokea Oktoba 29, 2022, na uchunguzi wa awali umebaini kwamba mwanamke huyo aliuawa kutokana na changamoto za migogoro ya ardhi.

Kufuatia tukio hilo Kamanda Magomi, ameonya tabia ya watu kujichukulia sheria mkononi likiwemo tukio la kijana Willson Jogoo(30), aliyeuawa na wananchi wenye hasira kali, katika Kijiji cha Chembeli baada ya kuiba kuku.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad