Diamond Platnumz Asisitiza Yupo Mbioni Kuoa Mke, Picha ya Haji Manara na Wakeze Yamkosha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bugati @hajismanara ndiye mwamba kamili, usiku wa kuamkia leo Ijumaa, aliwatoa OUT aliwapeleka kula chakula cha pamoja usiku 'dinner' wake zake wawili, mke mkubwa ambaye ni Rubynah na mke mdogo ambaye alimuoa siku za hivi karibuni, Rushaynah


Manara ame-share picha tatu za tukio hilo akiwa katika hoteli ya Hyatt Kenpinsk, ambapo anaonekana ni mwenye furaha huku tabasamu likitawala katika uso wake. Pia wake zake wanaonekana wenye furaha iliyopitiliza wakiwa na mume wao kipenzi.


Kati ya mastaa waliotoa komenti zao kwenye post hiyo ya Manara ni pamoja na mwanamuziki @diamondplatnumz ambaye yeye huenda OUT hiyo ya Haji na wake zake imemkosha vilivyo, amesisitiza msimamo wake wa kuoa hivi karibuni, ikiwa ni mara ya pili anaeleza hilo katika posti ya Haji Manara. 

"Nasisitizaje, niko njiani Babaaaa... 🙌" - ameandika Diamond.


Aidha, Babu Tale ambaye ni meneja wake, ameijibu komenti hiyo ya Diamond kwa kumwambia kama kweli anajiweza afanye hivyo alivyofanya Haji Manara.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad