AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kampuni ya Massmart kutoka Afrika Kusini inayomiliki Maduka ya Game imesema Desemba 25, 2022 ni mwisho wa Maduka yake kufanya Biashara
Massmart imefikia hatua hiyo ikiwa ni Miezi 12 ya kujaribu kuuza Maduka yake kwenye Nchi za Nigeria, Ghana, Tanzania, Kenya na Uganda kwa wawekezaji wapya wa ndani bila mafanikio
Imesema kwa sasa wako kwenye hatua za haraka kuanza uuzaji wa jumla wa Bidhaa zilizopo katika Maduka yote kwenye Nchi hizo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK