Ndoa ya Alikiba imevunjika rasmi..? Mke wake atangaza “Rasmi nipo huru”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mke wa Mwimbaji Alikiba aitwae Amina ameibua mjadala mtandaoni baada ya kuandika kwenye insta story yake kwa herufi kubwa “OFFICIALLY FREE” akimaanisha sasa ni rasmi yuko huru, maandishi aliyoyaambatanisha na picha inayomuonesha Ndege akipaa baada ya kufunguliwa kutoka bandani.

Japokuwa haijathibitishwa kwamba uhuru huo aliouandika Amina unamaanisha nini, kitendo chake cha kuzifuta picha alizowahi kuzipost za Mumewe Alikiba kimekoleza zaidi fununu za wawili hao kuachana rasmi.

Kwa habari kamili unaweza ukabonyeza play kufahamu zaidi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad