Afia kwenye nyumba ambayo haijakamilika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mtu mmoja mwanaume ambaye hakufahamika mara moja amekutwa amefariki katika nyumba moja inayoendelea na ujenzi wilayani Manyoni mkoani Singida, huku chanzo cha kifo chake kikiwa bado hakijafahamika.
Imedaiwa kuwa huenda kifo hicho kimetokea siku kadhaa zilizopita kutokana na mwili huo kukutwa umeharibika.

Akizungumza kwa njia ya simu Mkuu wa wilaya ya Manyoni Rahabu Mwagisa, amethibisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa bado jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi ili kubaini undani wa kifo hicho.

Kaimu Mganga Mfawidhi hospitali ya wilaya Manyoni Dkt. Ainea Mlewa, amekiri kupokea mwili huo ambao umehifadhiwa katika chumba cha kuhidhia maiti.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad