AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu hao wamepoteza Maisha papo hapo huku wengine wakijeruhiwa baada ya Basi kugongana uso kwa uso na Lori, Novemba 13, 2022 eneo la Veyula, Makutupora
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amesema bado wanafuatilia chanzo cha Ajali na athari zaidi zilizotokana na Basi hilo lilikuwa linatoka Arusha kwenda Mbeya. Lori ni Mali ya Kampuni ya Ujenzi ya China Hydropower.
-
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK