AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mopao barnabaclassic yupo mbioni kuuaga ukapera baada ya jana kumvisha pete mchumba wake @rayatheboss ikiwa ni kiashirio cha kuelekea katika ndoa. Shughuli hiyo inatajwa kufanyika mwishoni mwa wikiendi na kuhudhuriwa na wasanii wenzake.
Hongera kwa @barnabaclassic tunawatakia safari njema ya kuelekea kwenye ndoa yeye na mchumba wake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK