Demu Achanganyikiwa Baada ya DNA Kuonesha Mumewe Sio Baba wa Mwanawe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanamke mchanga anatafuta majibu mtandaoni baada ya kupata habari kuhusu jambo lisilo la kawaida kutoka kwa daktari wake ambaye alimtumainia.

Katika simulizi kwa Influencer maarufu wa mitandao ni, David Bondze-Mbir, mwanamke huyo ambaye hakutaka kutajwa alionyesha kwamba aligundua tabia fulani za ajabu kwa mmoja wa watoto wake na akaamua kumfanyia vipimo.

Kulingana na mwanadada huyo, aliamua kumfanyia uchunguzi wa siri wa DNA msichana huyo na ikabainika kuwa mtoto huyo ni wake lakini mumewe si baba wa mtoto huyo.


Jambo hilo, anasema mwanamke huyo, linachanganya sana kwa sababu hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamume mwingine tangu alipokutana na mumewe.



Zifuatazo ni baadhi ya uwezekano ambao Waghana walidhani ungeweza kusababisha mtoto huyo kuwa na DNA tofauti ingawa mwanamke huyo hakuwachiti katika ndoa yake.

David Bondze-Mbir alitoa maoni juu ya chapisho lake mwenyewe akisema:

"Ninamwamini anaposema hajulikani mtu yeyote zaidi ya mume wake. Baadhi ya wataalamu wa afya wanapendekeza uwezekano wa mtoto kubeba DNA ya mzazi mmoja tu, na kwamba, imethibitishwa kisayansi."

Hilda Kweinorkie Addo alisema:

"Itakuwaje kama aliwekewa dawa na mume na rafiki yake au mwanaume wa kubahatisha aliyefanya naye dili akalala na mkewe? Na anataka kumtumia ili mwishowe amteme?? Au mwanaume mwenyewe hana nguvu za kiume na watoto wake wote si wake?"


Mapema mwezi huu, mwanamume ambaye amekuwa kwenye ndoa kwa miaka 20 alipigwa na butwaa baada ya vipimo vya DNA kufichua kwamba yeye si baba wa watoto wake.

Mwanaume huyo ambaye ana umri wa miaka 57 aligundua swala hilo la kushangaza baada ya kuwafanyia vipimo vya DNA watoto wote.

Hata hivyo watu wengi mitandaoni ambao walitoa maoni yao kuhusu swala hilo walimsuta mrembo wakisema alimchiti jamaa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad