Fatma Karume Afunguka "Wanafunzi Wamefeli Law School Alafu Mnapandisha Ada, Huo ni Wizi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Fatma Karume ametoa maoni kuhusu taarifa ya Shule ya Sheria Tanzania (The Law School of Tanzania) kudaiwa kupandisha ada ya masomo akisema "Kiwango cha kufeli masomo kwa Wanafunzi wa Law School ni 95%, halafu eti wanapandisha ada. Ukiritimba usipodhibitiwa ni wizi tu"

Ameongeza "Baraza la Elimu ya Sheria mko wapi? Hii si kazi ya Serikali, mnatakiwa kuwadhibiti hawa Watu. Wanachukua pesa za Watu na hawatimizi malengo"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad