Hatimaye Talaka ya Kanye West na Kim Kardashian Yakamilika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hatimaye mastaa Kanye West (YE) na Kim Kardashian mchakato wao wa Talaka umekamilika Jumatatu hii, wameripotiwa na TMZ kufikia maridhiano ya Talaka huku Kanye West atatakiwa kumlipa Kim Kardashian kiasi cha $200k ambazo ni zaidi ya TZS Milioni 466 kila mwezi kwa ajili ya matunzo ya watoto wao.

Lingine lilioangaziwa kwenye maridhiano hayo ni haki sawa katika malezi ya watoto wao. Tovuti ya TMZ imeeleza. Na iwapo mmoja wao atashindwa kushiriki vyema, mwingine anapewa nafasi ya kufanya uamuzi kwa chaguo la msingi.

Itakumbukwa, Mwanamama Kim Kardashian mwezi Februari, mwaka jana alifungua shauri mahakamani la kudai Talaka baada ya kuwa kwenye ndoa kwa takribani miaka 7 na Kanye West.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad