Mhandisi Saeed Abdullah Bakhresa ndiye aliyeongoza na kusimamia kitengo cha uhandisi katika kuujenga uwanja mkubwa kuliko yote nchini Qatar,uwanja wa Lusail.
Uwanja huo uligharimu dola za kimarekani milioni 767 (Shilingi trilioni 1.7)na ulichukua miaka miwili na nusu kumalizika
______
Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA