Kombe la Dunia: Ghana Yakaza Hadi Dakika Ya Mwisho na Kunyoa Wakorea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Timu ya taifa ya Ghana imepambana kwa jino na ukucha hadi kusajili ushindi wao wa kwanza katika mashindano ya mwaka huu ya Kombe la Dunia yanayoendekea nchini Qatar.


Ghana wamevulia madude ya Korea Kusini na kunyakua ushindi. 
Baada ya kupoteza mechi yao ya kwanza kundi H 3-2 dhidi ya Ureno, Ghana wamejikaza kisabuni na kusajili ushindi sawia (3-2) dhidi ya Korea Kusini.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad