AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya taifa ya Ghana imepambana kwa jino na ukucha hadi kusajili ushindi wao wa kwanza katika mashindano ya mwaka huu ya Kombe la Dunia yanayoendekea nchini Qatar.
Ghana wamevulia madude ya Korea Kusini na kunyakua ushindi.
Baada ya kupoteza mechi yao ya kwanza kundi H 3-2 dhidi ya Ureno, Ghana wamejikaza kisabuni na kusajili ushindi sawia (3-2) dhidi ya Korea Kusini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK