Kombe la Dunia Qatar..Marufuku Pombe, Nyama ya Nguruwe na Mapenzi ya Jinsia Moja na Mapenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Qatar wameendelea kukaza kamba kuhusu masharti kuelekea kombe la dunia hilo nchini humo ambapo wamekata bidhaa zozote ikiwemo sex toys, matumizi ya pombe isipokuwa kwa mpangilio maalum, wamezuia pia nyama ya nguruwe na endapo utabeba vyote vitabaki uwanja wa ndege na kwenye vizuizi na havitorudishwa kwako tena.

Licha ya kupiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, pia wamezuia watu ambao sio wanandoa kufanya mapenzi, endapo utabainika ni miaka saba jela.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad