AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ninaamini wabongo wanaoishi USA wana ma-group yao Either Telegram au WhatsApp.
Mange Kimambi ana ushawishi mkubwa, achukue Jukumu la Ku-Mobilize Wabongo kuhudhuria Show za Wasanii wa Tanzania.
Mange ana faida Gani kwa taifa?, akifa anataka tumkumbuke kwa kuwa kinara wa Kuvujisha Connection au? Ni Bora achukue Jukumu hilo la Kufanya Mobilisation.
Ninaamini Mange akifanya kazi hiyo hakika tutaepuka aibu ndogo ndogo, Maana kuanzia show za Mond, Kiba Harmo huwa hazina mahudhurio Mazuri.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK