AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaume mmoja wa Nigeria anasemekana kufariki dunia wakati wa mashindano ya kufanya mapenzi mara baada ya kumaliza raundi ya saba.
Kulingana na ripoti ya mwaka jana, kutoka igbudu Market Mile '2' katika jimbo la Delta nchini Nigeria, mwanaume huyo alikuwa akifanya mapenzi na mfanyakazi wa mke wake alipofariki ,huku Gazeti la The Nation likiripoti kuwa mwanamume huyo aliyetambulika kwa jina moja la Okpako alifariki dunia katika hoteli iliyoko Odibo Extension eneo la Igbudu huko Warri.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK