AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wahalifu hao wanaotumia silaha za jadi wamevamia nyumba kadhaa wakiwa katika makundi kisha kupora mali na kujeruhi watu kadhaa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amesema mmoja wa majeruhi ni Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Magereza ambaye anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Muhimbili
Daktari wa Kitengo cha Dharura Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tumbi, Dkt. Oscar Feruzi amesema wamepokea majeruhi 9 waliotokana na matukio hayo, wawili kati yao wakihamishiwa Hospitali ya Muhimbili kupatiwa matibabu zaidi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK