Ripoti Ajali ya Precision Air : Askari wa Uokoaji Walikosa Mitungi ya Oxgen

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Uchunguzi umebaini licha ya Jeshi la Wanamaji kujulishwa tukio la Ajali, Boti rasmi ya Uokoaji ilichelewa kufika eneo la Ajali kwasababu haikuwepo katika Bandari ya Bukoba

Pia, pamoja na Askari wa Kitengo cha Wanamaji kuchelewa kufika, hawakuweza kufanikisha zoezi la Uokoaji chini ya Maji kwasababu ya ukosefu wa Oksijeni na Mafuta ya kutosha Boti

Aidha, kabla ya kuwasili kwa Polisi Kitengo cha Wanamaji, mmoja wa Wavuvi wa eneo hilo alianza mchakato ya uopoaji wa Maiti kutoka kwenye mabaki Ndege.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad