Ripoti Ajali ya Precision Air : Askari wa Uokoaji Walikosa Mitungi ya Oxgen



Uchunguzi umebaini licha ya Jeshi la Wanamaji kujulishwa tukio la Ajali, Boti rasmi ya Uokoaji ilichelewa kufika eneo la Ajali kwasababu haikuwepo katika Bandari ya Bukoba

Pia, pamoja na Askari wa Kitengo cha Wanamaji kuchelewa kufika, hawakuweza kufanikisha zoezi la Uokoaji chini ya Maji kwasababu ya ukosefu wa Oksijeni na Mafuta ya kutosha Boti

Aidha, kabla ya kuwasili kwa Polisi Kitengo cha Wanamaji, mmoja wa Wavuvi wa eneo hilo alianza mchakato ya uopoaji wa Maiti kutoka kwenye mabaki Ndege.
______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad