AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shabiki huyo amemuita Lulu kama mtu mnafiki baada ya msanii huyo kuto onekana kwenye sherehe ya Wolper na badala yake kutumia ukurasa wake wa Instagram kupongeza. Jibu la Lulu lilikuwa ni kutafutiwa dhambi za bure na kuifananisha sura ya shabiki huyo kama ya mtu anayetafuta Harufu ya Panya aliye kufa
Kiufupi ni kuwa mwenye akili timamu huwezi ukakurupuka zako na kuvamia post za watu na mitusi au kukosoa kusiko na hoja, huo ni utoto na upumbavu wa PhD, na mwisho wa siku unajiokotea fedhea kama hizi. Learn yourself change.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK