AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kauli ya Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba, inafuatia majibu ya Watu mbalimbali Mtandaoni wanaodai Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM na Balozi, Dkt. Bashiru hana sifa za kuikosoa Serikali wakati hakufanya hivyo alipokuwa na Madaraka kwenye Utawala wa Hayati Rais Magufuli
Warioba amesema Watu wamelikuza sana suala hilo wakati Dkt. Bashiru ana hoja ya msingi hasa kwa kuwataka Wakulima waungane na kuwa na sauti moja kuhusu mustakabali wao
Dkt. Bashiru akizungumza na Wakulima hivi karibuni alitoa kauli zinazodaiwa kukosoa Serikali, jambo lililofanya akemewe vikali huku wengine wakimtaka ajiuzulu Ubunge.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK