AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afya ya Gwiji wa soka duniani Pele, inatajwa kuwa katika hali mbaya na hakuna matibabu yoyote ya mionzi ambayo yanaweza kumfanya awe sawa, huku taarifa zikiripoti kuwa amewekwa kwenye uangalizi maalum wa kupunguza maumivu na asipate changamoto ya pumzi kwa wakati huu ila hakuna tiba ambayo inaweza kutatua changamoto yake.
Prayers for the King of football❤️
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK