AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha Mkuu wa Yanga Nasredine Nabi amefungiwa michezo mitatu kukaa katika benchi pamoja na faini ya Tsh 500,000.
Nabi amekumbana na adhabu hiyo baada ya kuwatolea maneno makali mwamuzi wa kati na mwamuzi wa akiba wakati wa mchezo wa Ihefu na Yanga ambapo Yanga alipoteza 2-1.
Licha ya Kocha Nabi kuonywa na Waamuzi kwa kuoneshwa kadi ya njano lakini aliendelea na kitendo hicho.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK