AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutokana na uzoefu wa kuwa na wake wawili Msanii wa muziki wa taarabu Tanzania @mzeeyussuf imepelekea kuamini kuwa wake wa msemaji wa Yanga @hajismanara hawana upendo wakweli isipokuwa wanaigiza tu kwenye mitandao ya kijamii.
Pia Mzee Yusuph hakuishia hapo alisisitiza kuwa tuwape muda mchache tu wake hao wataonesha uhalisia wao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK