Ticker

6/recent/ticker-posts

Laini Kubwa ya Umeme Kuzimwa Kumshusha Mwamba Aliyepanda Kwenye Nguzo za Umeme

Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA

Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA

Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA




Mwanaume mmoja ambaye jina lake halijafahamika amekutwa amepanda kwenye nguzo ya umeme wa msongo wa Kilovoti 132 njia Mwanza-Musoma Nguzo namba 500 iliyopo Mwibagi Wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara.

Mkuu wa kituo cha Polisi cha Kiabakari amefanikiwa kufika eneo la tukio ambapo amesema

"Timu yetu imefika na kumshawishi mhusika kushuka bila mafanikio. Jitihada za kumshusha bila kudhurika zinaendelea, na tunaweza kulazimika kuzima laini hiyo ambayo itapelekea Mkoa wote wa Mara kukosa umeme"

Post a Comment

0 Comments