Web

Manzoki Kutoa Tanzania Kufanya Mazungumzo Kuhamia Simba


Mshambuliaji Cesar Manzoki anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania wiki hii kukutana na viongozi wa Simba kujadili uwezekano wa kuhamia katika klabu hiyo.

Kwa sasa anaitumikia Dalian Pro ya China iliyompa ofa kubwa mchezaji huyo hivyo anatafuta masharti mapya ya kusaini Simba.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad