Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA
Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA
Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya Mwalimu aliyeonekana katika picha ya video iliyosambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii akimuadhibu mwanafunzi kinyume na taratibu.
Profesa Mkenda amesema wameishafuatilia jambo hilo na tayari mwalimu huyo amesimamishwa kazi huku uchunguzi ukiendelea.
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Tanzania Zipo HAPA
Ufadhili wa Masomo ( Scholaships) Bonyeza HAPA
0 Comments