Harmonize Amtupia Dongo Kajala Kiaina "Account Yangu Ilisoma Zero Sababu ya Kumpenda Mtoto wa Mtu Lakini Niliachwa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ameandika Harmonize 👇
.
"Nakumbuka siku moja account yangu ya Bank ilisoma zero "0000" kwa sababu ya kumfanya mtoto wa mtu awe na furaha lakini haikusaidia niliachwa😭, kwa sasa nayachukia sana mapenzi na nimeamua kuwa single japo kuna watoto wa kike wengi wananipenda na wanataka kuanzisha mahusiano na mimi"- ameandika Harmonize kwenye Instagram stori yake..


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad