Harmonize Atoa Mpya, Aweka Tangazo la Bango Barabarani Kuwa Yupo Single Tena

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kuandika Instagram pekee kuwa yupo single haijatosha kwa msanii @harmonize_tz ameendeleza Tena utaratibu wake wa kuwa kwenye mabango!

Boss huyo wa Konde Gang mara hii ajiweka picha yake mwenyewe inayoonesha akiwa maeneo ya beach ikiwa na ujumbe usemao "Single Again"

@harmonize_tz amejiweka kwenye bango hilo maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam ilipowahi kuwekwa bango lake akiwa na Kajala lililokuwa limeandikwa "Lovers" na kwa wakati huo alikuwa akiomba msamaha kurejesha penzi lake kwa bibie huyo.

Una mtazamo gani kwa hili la Konde!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad