TMA Yatoa Tahadhari Mvua Maeneo Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mamalaka ya Hali ya hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo kuanzia usiku huu tarehe 7 Februari.
Utabiri huo umetaja maeneo yatakayokua na mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache pamoja na vipindi vya jua kuwa ni Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Manyara.

Kwingine ni Mikoa ya Pwani ikijumuishwa na Mafia, Visiwa vya Unguja na Pemba, Mkoa wa Kagera, Geita, Mwanza, Simiyu, Shinyanga, Mara, Tabora, Kigoma, Katavi, Songwe, Rukwa, Mbeya na Iringa.

Mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida, Njombe, Ruvuma, Mtwara na Lindi nayo inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo  katika maeneo machache pamoja na vipindi vifupi vya jua.

Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro inatarajiwa kuwa na Mvua nyepesi katika maeneo machache pamoja na vipindi vya jua.


Kwa viwango vya joto vinavyotarajiwa nchini tazama hapa chini

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad