AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii Alikiba ameongea kuhusu kuwekeza kwenye kilimo cha mazao tofautitofauti ya biashara zikiwemo mbogamboga, nyanya na vitunguu ambapo amesema amechagua Mkoa wa Dodoma kwasababu kuna fursa za kilimo na anaamini atapata pesa nyingi.
Alikiba amesema pamoja na mambo mengine amevutiwa na sera za Serikali ya Rais Dkt. Samia na Waziri wa Kilimo kwa namna ambavyo wamekuwa wakitatua changamoto za Wakulima na kuwatafutia masoko.
Katika hatua nyingine Alikiba amekanusha kuwepo Kwa colabo yake na Davido kama ambavyo ilisambaa mtandaoni post ikionesha Track List ya nyimbo zitakazopatikana Kwenye Album ya Davido.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK