Maskini Banda aumia Tena akiitumikia timu ya Taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Akiwa amerejea hivi karibuni kutoka kwenye majeraha ambayo yalimuweka nje kwa takribani miezi mitatu, bado changamoto ya majeraha imeendelea kumuandama winga Peter Banda jana akiumia bega akiwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa

Malawi ilikuwa ugenini kumenyana na Misri katika mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023, Misri wakishinda mabao 2-0

Katika mchezo huo Banda aliingia kwenye kipindi cha pili lakini alilazimika kutoka katika dakika ya 60 baada ya kuumia bega

Msimu huu umekuwa mgumu kwa Banda ambaye muda mwingi ameutumia katika kuuguza majeraha

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad