TMA Yatoa Tahadhari Mvua Kubwa Mikoa Hii leo Machi 20 na Kesho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la Mvua Kubwa inayotarajiwa kunyesha siku ya Jumatatu Machi 20 na Jumanne Machi21 katika baadhi ya maeneo nchini.
TMA imefafanua kuwa mvua hizo zinatarajiwa kunyesha katika maeneo mengi ya Mikoa ya Dar es Salaam, Lindi, Mtwara na Mkoa ya Pwani ukijumuisha visiwa vya Mafia.

TMA imezitaja athari zinazoweza kujitokeza kuwa ni pamoja na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji pamoja na ucheleweshwaji wa shughuli za kiuchumi na usafirishaji.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad