AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la Mvua Kubwa inayotarajiwa kunyesha siku ya Jumatatu Machi 20 na Jumanne Machi21 katika baadhi ya maeneo nchini.
TMA imefafanua kuwa mvua hizo zinatarajiwa kunyesha katika maeneo mengi ya Mikoa ya Dar es Salaam, Lindi, Mtwara na Mkoa ya Pwani ukijumuisha visiwa vya Mafia.
TMA imezitaja athari zinazoweza kujitokeza kuwa ni pamoja na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji pamoja na ucheleweshwaji wa shughuli za kiuchumi na usafirishaji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK