Majina Walioitwa Kazini Kada ya Afya 2024 PDF TAMISEMI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Majina Walioitwa Kazini Kada ya Afya 2024 PDF TAMISEMI


 Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imewaita kazini watumishi wa kada ya afya 5,319 wakiwemo wasaidizi wa afya na madaktari kwa ajili ya kutoa huduma katika vituo vya afya mbalimbali kote nchini.


Orodha ya Waombaji ajira iliyochapishwa leo Juni 5, 2023 katika kurasa 357 imehusisha pia wateknolojia, maafisa afya, watoa tiba kwa vitendo, wauguzi na tabibu.


Waziri wa Tamisemi, Angellah Kairuki amesema Waajiriwa wapya ambao hawataripoti katika vituo walivyopangiwa ndani ya siku 14 kuanzia tarehe ya tangazo hili, watakuwa wamepoteza nafasi zao na nafasi hizo zitajazwa na waombaji wengine wenye sifa waliopo kwenye Kanzidata (Database) ya Ofisi ya Rais – TAMISEMI.


Mwezi Aprili, 2023 Rais Samia Suluhu Hassan, alitoa kibali cha ajira ya watumishi 21,200 kati yao 13,130 walikuwa wa kada ya Ualimu na 8,070 wa kada za Afya.

SOMA HAPA MAJINA WALIOITWA KAZINI KADA YA AFYA

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad