AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Mazingira yalikuwa magumu sana muda ambao tulikuwa tunashambulia na wao walikuwa wanashambulia pia, walipiga mafataki uwanjani, mechi ikasimama tunapoa tunatafuta namna tena ya kushambulia.”
"Mimi nawapongeza sana wachezaji wetu tumepambana sana, watu ambao wanasema Yanga imebahatisha kufika fainali sio vizuri, ukianngalia ambavyo tumeanza na hivi tumemaliza watu wamepambana na wamefanya kazi kweli.”
Mfungaji bora wa CAFCC - Fiston Mayele
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK