Mayele Afunguka "Wanaosema Kufika Fainali ni Bahati sio Kweli, Tumepambana Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



"Mazingira yalikuwa magumu sana muda ambao tulikuwa tunashambulia na wao walikuwa wanashambulia pia, walipiga mafataki uwanjani, mechi ikasimama tunapoa tunatafuta namna tena ya kushambulia.”

"Mimi nawapongeza sana wachezaji wetu tumepambana sana, watu ambao wanasema Yanga imebahatisha kufika fainali sio vizuri, ukianngalia ambavyo tumeanza na hivi tumemaliza watu wamepambana na wamefanya kazi kweli.”

Mfungaji bora wa CAFCC - Fiston Mayele
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad