Mkenya Faith Kipyegon avunja rekodi ya dunia ya mbio za mita 1500

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mkenya Faith Kipyegon avunja rekodi ya dunia ya mbio za mita 1500



Mwanariadha wa Kenya Faith Kipyegon aliweka rekodi mpya ya dunia ya mita 1500 katika mashindano ya Florence Diamond League siku ya Ijumaa.


Muingereza Laura Muir alikuwa mita 10 nyuma ya bingwa mtawala wa Kenya na bingwa wa Olimpiki, 29, kuelekea mkondo wa mwisho.


Naye Kipyegon alifuzu kwa ushindi katika dakika 3 sekunde 49.11, na kuvunja kizuizi cha 3:50 kwa mara ya kwanza, huku Muir akikimbia kwa muda bora wa msimu wa 3:57.09.


Genzebe Dibaba wa Ethiopia aliweka rekodi ya awali ya saa 3:50.07 mwaka 2015.


Ciara Mageean wa Ireland pia alikimbia wakati bora zaidi wa msimu alipomaliza wa nne kwa 4:00.95.


Kipyegon ameshinda dhahabu ya dunia na Olimpiki mara mbili lakini hii ni mara yake ya kwanza kuvunja rekodi ya dunia

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad